LYRICS

Search for a song or choose an album and track.

A FATHER FIGURE album cover

A FATHER FIGURE

Dizasta Vina

Nobody is safe 5

A FATHER FIGURE • Dizasta Vina
Lyrics copied!
So hii kalamu ikisimama na kuanza kutupa wino Watoto utasikia "mom look Superhero" Sivunji bars na-Storm out, Like I'm the one Who let the dogs out, Scofield navuka wigoAlafu na-fly far (Shuu) Aftermath natoa salamu kwa survivors Ukoo wa mbuzi unawapa high five, niko busy na mkwanja Na ndio maana sionekani viwanja ka' vile sikai DarGame kazi siku hizi mama anafahamu Ala tamu inaongea alama, Binadamu Niko salama natoa salamu bila damu Kwa kipaza nasambaza karama ya hii kalamuSikutaka kutoka niliingia chaka Nikatulia nikaisoma dunia utafikiria NASA Nikawa fear factor, nikashika njia Wabia wakanihofia kama wanavyoihofia CancerHii ni Beyond your high definition Naona mbali utadhania tai, hii vision Ni ya kutafuta material sikai ili nilishwe Moves kama Spy kwenye mission Ni**erBadili spana hii ni Volvo Walifunga mageti kwa maana ligi ndogo Leta paper kubwa mchizi nachana si kitoto Mi ni nyoko waulize Wagaga-gigi-kokoWaliokuwa hawakomi wanakoma Walikuwa vipofu hawakuona navyochoma Homa, Nikitua kwenye mwili huwa ni joto Vyuoni ka' Dodoma na Sua wananisomaNa huu ni wimbo kwa ma-Hustler Walio-focus kwa maana flow ni za kimasta Na-flip topic utadhani Flip Mode Busta Rhymes utahisi Bro LangaEyo eyo kwa Insha na methali Nawazika ka Ujamaa ulivyozikwa na Ubepari Nishachoka na uongo so nafoka mpaka mtondogoo Kwa world class Protocal, InternationallySina big team, nina big pen brother Niki-grip unaweza sema Slim Shady kaja Achana na kids hawa sixth grade rappers Kisha pick me Dizasta mi' ni 50 shades darkerHizi tenzi ni pure, Niko real toka enzi nakua Nili-rap kabla mapenzi sijajua Kwenye game wanavyoenzi majuha Wana track mbovu na wanafanya Media toursNow I'm mad (really mad), Sitaki hoji what next Ni-focus kwenye page za kishost na kuvex? Nah Sipigi mbonji niko resi kama Race car Si-dodge dodge Wala siweki Emoji kwenye textJina Vina na kazi ni mistari Maisha yangu hadithi jamaa hii ndo' dibaji Nawakilisha machizi ambao vichwa ni madini Sifanyi masaji nafanya mauaji ya kimbaliOna nawazidi nguvu wanahisi labda JUJU Kumbe ni skills fulani new new Iwe Kung Fu ama Wushu japo sio New school Bado logo ni classic kama FUBUPanorama kitambo bado sugu Ndugu watachanga michango ukijitusu Nitakushangaa ukija bila plan kwenye Battle Maana unahitaji kiwango na mipango kunimuduNImeshiba contents cheki Youtube Nina material priceless kwenye fuvu Japo wanaziba ili nisi-trend kama Dudu Sizifuati trend, trend na-create kama MunguNiko shega Bro Genius ni Understatement half Man half God Paradox Niite Vina just for lack of the better words Literally, yet metaphorically undebatableHuwezi 'amini mambo ambayo ubongo una-solve I;ve been tested couple of times madokta wanahofu Linapotajwa jina langu marapa wanatokwa na povu Mi ni Ndovu walisha-approve Ngosha na ProfNatia chata kwenye list ya ma-Veteran Tunaopamba beat kama binti mwenye pete yaani Chagua jumba la sanaa uchukue kiti uketi ndani Au uendelee ku-search role model wako anam-date naniTop tiers wako hawafai kwenye hii selection Kutafsiri inahitaji classes na deep sessions Dunia ilianzaje? Ukifa unaenda wapi? Sijui yai sijui kuku you know, that kind of big QuestionsI'm a street Legend haisumbui sana Kutambua maana sideki ka' simjui Mama Kamuulizeni Mr. Kuvichaka atawaambia Nishakula vichaka utadhania Mbuzi kajaNajua nitakuwa Star that's not my major dream Stardom is for little kids legacy's the better thing Nataka kuwa Rapman next to Ringle Beatz Spiderman And Panorama is the Avenger teamWasakatonge tuko fiti hatulei mboga Na size ya bendi ni big everyday ngoma Bado mistari ni mingi haienei folder Dizasta Vina si Michael B ni Michael A JordanKipindi sina deal street nishatukanwa nika-chill Nikawa focus inaitwa Stamala Mbishi nang'ang'ana siishi kwa mama Popote yalipo mamkwanja ya kumwaga naishi mkabaraNachekecha mamkwanja baada ya kutwanga na Kupepeta hasira ka' ndo' naanza kumbe star Nimefika kwa movie hii... Nina fan base bila Mchomvu na B TwangalaKuna wana walijaribu kuwa mimi yoo Yaani kuwa Off the Stream and yet clinical Walicopy flows instruments na video Walinikuta wakaja wakaondoka ka' Menstrual PeriodMi' sio Budha Budah I look friendly ndio maana marapa wanakujakuja Wananizoea kiboya naishia kuwafunza Lugha Ningewafundisha kuongea na wake zao ila nachunga mudaLabel zinawapiga mitungo hatuongei Verse lundo mfuko bei Niliwaheshimu sana wadau, mkaja mkasema hailipi Mkaendekeza kiki alafu mkaja mkampa tuzo NeyMashabiki nao wanadisi kwanini sionekani Wakati kila zinapotajwa list huwa sikosekani Labda kwakuwa sisifii sex na pombe kali Wengine wanasema I'm the missing piece ya Kikosi KaziAdimu kama Mythical creature Lyrical Teacher naacha kesi ya Criminal kisha Napotea kwenye surface siachi physical feature Naacha History na elimu kwa every Critical Thinker

More From This Album

More songs from this album

Join The Family

New music. Stories. Early access. Things you won't find everywhere else.

© 2026 Dizasta Vina. All Rights Reserved.