– ARTICLES –

Wanaume na Sanaa ya Kujikata Miguu

Wanaume na Sanaa ya Kujikata Miguu

Nakumbuka wakati fulani tulikuwa tunatazama runinga na familia, maudhui mbalimbali yalirushwa hewani, wasaa ukaenda tukiyatazama na kati ya hayo yakawemo yaliyohusu kampeni ya kushawishi wanafunzi wa jinsia KE kuchagua michepuo ya Sayansi kwenye masomo.

read more

Subscribe for News & Updates

Biashara ya Kuuza Matumaini

Biashara ya Kuuza Matumaini

Mwaka 2010 aliyekuwa Askofu mstaafu wa kanisa la kilutheri Tanzania (ELCT), marehemu Ambilikile Mwasapile alitangaza kuwepo kwa dawa inayotibu magonjwa yote ikiwamo magonjwa sugu kama Kisukari…

read more
2024 Recap

2024 Recap

Mwaka 2024 umepita, Kwa hitaji la wengi nimeandaa list yenye baadhi ya Albums nilizosikiliza, vitabu nilivyosoma, makala nilizosoma na filamu nilizoangalia kwa mwaka huu wote.

read more
Dizasta Vina Official Logo