–
LYRICS
–
Search for a song or choose an album and track.

JESUSTA
Dizasta Vina
Hatia
JESUSTA • Dizasta Vina
Lyrics copied!
Ah.!
Niambie ilianza vipi najua haikuanza ghafla
Zipi dalili maana hata mafua huanza na chafya
Kivipi mi kaka'ako na ulisita kuniambia ukafanya siri ina maana kimsingi nawe ulitakaAh! Kimsingi nawe ulitaka kumbuka
Tangu baba mzee Muggo anakufa
Alituusia uaminifu na ndio nguzo uliyoiangusha
Nashangaa bado nafsi yako hijasutaMaana bado natamani kukujali
Mdogo wangu natamani sana lakini imani yangu imekufa tayari
Sometimes nakwenda mbali
Natamani kukudhuru busara inaniweka huru nagundua mi sio mshariUlianza vipi kumtamani wife Je ni siku namwoa?
Au ulianza kabla ya siku ya ndoa
Na ndio maana siku ya harusi ushirikiano ilikuwa ni ishu kutoa
Kama harusi ni pingu nang'oaSihitaji tena
Najiuliza kwanini nilibashiri
Lakini nikapuuzia dalili
Kwanini nili..... Ah
It all makes sense nowSubiri mwanaizaya subiri it all makes sense now
Mwezi wa pili hanipi penzi now
Yaani kipindi nashusha pensi down
Ananiambia kuwa amechoka anahisi kama homa hawezi... How??(nimiminie wisky)
Sikujua kuwaacha pamoja home ilikuwa ni risky
That's why I've been away for so long and she never missed meSikiza...
Sijui unachofikiri rohoni bado
Maana upo kimya niseme huoni mwisho huoni mwanzo
Ulikataa kusoma chuoni ng'ambo
Ubaki ule ninapokula kweli kikulacho ki nguoni mwakoTulisimama kama mdogo na kaka umeng'oa nguzo
Hongera kwakuwa Mpumbavu yanipasa kutoa tuzo
Have you started using cannabis??
Man i thought we are brothers
I thought we are bond now we are enemies
Enemies...Hii maradufu imeniumiza
Acha uliponiangushia mninga
Au ulipogusa mzinga nikakuokoa
Upole ulizidi ukaniona mjinga
Ukaamua kumshika sharubu simbaAh! Remember we use to build a snowman
Go school together playing ball and
I can't believe that my own brother sheg my own wife on my own bed
( On my own bed..)Nilitaka tuwe saresare
Ningaefadhiri mbuzi ningekuacha uwe palepale
Mabinti hawaishi ukianza huwamalizi ukasahau visima vingi ila maji ni yaleyaleTulikuwa kama mwiko na wali
Ulikuwa kijana mzuri mdogo nakuvusha kijito cha maji
Umebadilika umepoteza nguvu na ufanisi
Mtaa mzima unatembeza rungu kama mlinziNilijitoa sadaka ili ufike far
Maana sikutaka ikufike njaa
Hukutaka unisikilize na
Ukachagua kuvunja moyo wangu vipande i don't even know where the other pieces areVile Niliamua kukulea
Ah nikakulea kama yai kama...
Ukaamua kunioneaKaa kimya.. Kaa kimya ngoja nibonge
We ni mdogo wangu toka nitoke
Inaniumiza sikukwambia tangu mwanzo kwamba huu mwaka wa tatu mi na wife...
Tunagonga vidongeOh men she killed you
That devil killed you
Labda nimeekuua mwenyewe labda ningekuambia kuwa.. Kuwa sisi ni waathirika ila nikasita....
Men I'm still a foolYes I'm still a fool..Nikiandika overall summary
Nimekuwa mjinga 'cause i killed my own family(Nimekuwa mjinga 'cause I killed my own family...)Kwakuwa nimekulea nimewajibika
Umesoma umepata kazi ya kuheshimika
Nahisi kama kazi yangu imekwisha nimemaliza, naondoka naenda mbali maana kuwaona inaniumizaZingatieni tiba...(Zingatieni tiba...)(Zingatieni tiba....)Kumbuka kuugua sio kufa.. Niahidi hautajuta..Kwaheri
More From This Album
More songs from this album
Join The Family
New music. Stories. Early access. Things you won't find everywhere else.
© 2026 Panorama Authentik. All Rights Reserved.