–
LYRICS
–
Search for a song or choose an album and track.

JESUSTA
Dizasta Vina
Nobody is safe
JESUSTA • Dizasta Vina
Lyrics copied!
YeahYou know who he!?? Ah a.k.a chuji
Hii sauti juu ya hili dundo ni ka' ngumi
Nikiteta hadithi utahisi ngugi
Mi' sio star, mi' sio adui, mi sio scene mi' ndo' movieWaambie machizi mi' nna stamina
So mbovu akija nampeleka speed mpaka asthma
Na hizo trash zenu hazina, (hadhi)
Nikiwaka naweza kumgeuza Fid akawa SajnaNna Strong mandatory state kama Cuba
Nishakula beji navusha majeshi kama Musa
Napo-educate uuma
Rumors zinasambaa mi' ndo' fundi nnaei-decorate boombapNa mama alinizaa brigedia
Nina nyota ninaijua mitaa nashika njia
Ukiijua game beba silaha kupigania
Mi kituo cha mistari brother kaa mita miaStill Panorama still Tamaduni
Still HIPHOP still rappers wanazikwa napobuni
Mwanafalsafa nisietaka kuandikwa vitabuni
Napigana vita nikifa nazikwa na wahuni, (still)Hayawi wananchi
Hii ajenda ifike kwa kila mchawi kwenye mji
Kwamba sitishiki wakileta drama siigizi
Mi ndo' mzizi sio tawi kwenye mtiMcees kama barbecue nyama choma
Nawaunguza mpaka hawataki kuniona, (kama kifo)
Mwanza na Dodoma
Zinasikika singo napo-dribble mtaani wananiita black MaradonaI am ready I was ready I've born ready men
Choose beautiful start or choose scary end
Ka' ulisikia mi sifai hii ni evidence
Kibaha maili noja mi' ni eight miles EminemNa mwoga ndio anashika tunguli
Nishashika moja kamwe siwezi shika sifuri
Sahau hoja za vioja zilizozikwa kivuli
Mi' bleed mwana siwezi kufichwa na kufuliNishazoea msoto ndio nishibe
Unaponipeleka foko ili nife (unajichosha)
Zoea msoto ili ushinde, (kirahisi)
Ka' nishati ya jua navyorahisisha photosynthesisNatuliza nyongo nikiona zogo linakua
Nakomaa na msoto maana ni msoto ulionifua
Kuna jambo dogo ambalo hata watoto hawajatambua
Kuna joto ila dizasta ni wa moto kushinda jua
That's very sure that i am times two smarter
Single sentence inayo-analysiz full chapter
Zama school kwanza hii ni proof kwamba
Hata ukitaga yai hauwezi ukaryhme juu ya hapaKama gravity I'm still balanced
Guaranteed punchlines na skills kama warranty
Twende!! Zama maktaba ufungue vitabu babu hizi hesabu zimetoka nje ya hii galaxyNa mtapiga chata nikishapita
Siku hiyo mlima utabusu anga nikishazikwa
Vunja kikao mwana imeshathibitishwa
Hakuna mganga au mwanga wakuwanga hiki kichwa(sikiliza)
Imagine begi bila bega
Fegi bila mzuka ama mengi bila pesa
Mbegu bila udongo ama bendi bila dancers
Ama arsenal bila wenger hiyo ni game bila mimiNna-explore physics na nakala za economy
Chemistry maths lugha jiografia biology
Karudie shule nishakuwekea benchmark
Naimaliza rap kama unanidai follow meKasuru mpaka Nakuru nazuru kambi
Kusambaza hisimu kuiweka huru nafsi
Nahudumu kiharakati hata ushuru sitaki
Na ufalme utasimama mbele ya msururu wa wanafkiRap messiah is back on earth back to take what I had to so bow down devil
Conquer like a pirate nigga you don't see me 'coz I'm writing down in the quantum levelMi' na perfection we the same Thang
Ni majirani sana and sometimes we play the same game
Mi' domination kama gang-bang
Si-run down the city mi na-fly high nigga kama planeThe reason game ime-stuck haipigi counter
Tunaacha asiye na hoja za msingi a-speak louder
Nikiwafata sio battle tena ni slaughter
I don't create fences i push the boundaries outerSherehe hugeuka mazishi kama nikienda mi
Herufi huitwa maandishi kama nikiremba mi
You've never been ready next time you better be
I'm the next big thing Tanzania will ever seeMi nachana wewe cheche inatoka
Ni mfano wa stimu za kaya nikupe uende kumoka
Kichwa asset kichwa panga jembe na shoka
Hisia za kukupeleka sky ukacheze na nyotaAh!!
Usipopaa hautui
Mzembe ukizidi fuga nyembe hili dafu haulifui
Hauwezi kujua shida ikiwa njaa hauijui, na hauwezi kua shujaa bila adui
Dizasta
More From This Album
More songs from this album
Join The Family
New music. Stories. Early access. Things you won't find everywhere else.
© 2026 Panorama Authentik. All Rights Reserved.