LYRICS

Search for a song or choose an album and track.

NDUGU WA MBALI album cover

NDUGU WA MBALI

Dizasta Vina x Kaa La Moto

Champion

NDUGU WA MBALI • Dizasta Vina x Kaa La Moto
Lyrics copied!
Sauti kwa wakubwa wote na watoto Matajiri au wasakatonge kwenye msoto Mjini kwa wasomi wenye degree ama bushi Kwa wakazi ambao huduma za jamii hazigusiY’all the champions Ukiishi smart kwenye jiji Kwa full focus kama una hitaji la kukidhi Wakijivisha hadhi kiasi hawakutaji kwenye list Jua we ni muhimu kama vile small nut kwenye engine Y’all the championNiliishi, niliogopa bei Nilipewa mikoba na mikoba haienei Sikuandaliwa kuwa mwema ama mkubwa, leo nimekua mkubwa So I’m sober for the dayI’m a champion, nilikuwa mwanaume baada ya baba kufa Niliamua nijitume baada ya dhihaka kuja Shida ilinishika, nikashika shina la uhasla Afu nikapiga mishe kuhakikisha mpaka inahama nuktaI’m a champion, na nina hitaji kuu Nisimamishe ganji maana wanasema money rules So ninachohitaji ni mtaji tu Nisimamishe regime yenye hadhi ka Afro Shiraz Party juuMan, I swear, I’m a champion Niwe na will ya kudare kama vile Don Corleone Wata-air hizi views kwenye radio Wata-share hizi news kila area, kujua mi ni champion ka Popa SamattaBila kufeli naenda proper na culture All the properties were improbable But here I am, na focus ka locus, brother Ma-MC wanaogopa kufataPandisha socks, imeingia hatamu Na zile episodes zimefikia patamu Kwenye kila spot, kila zamu, shika hatamu mpaka mwishoReady or not, nigger, here I come Champion kama G-Son, nazagaa Marekani Champion kwenye mtaa, nazaa tafrani Kwenye waya ukishangaa kwa nini sipatikaniChill, D ni champ kama Dar Young Africans Siko slow, niko fasta, unaweza ukapata pumu Masta, nina pawa ya kuzifanya ngumu, champion (Champion)Sina chawa na midananda, ila nina mbawa za kupaa Afu naenda sawa na wakaanga sumu (Champion)Usishangae nikiwa better than flani na flani Ninachowaza ni mamkwanja, maujanja ya hapa na pale Ma-financial security ka Bakhresa, mhAll I want to be is be a better man, champion Time passes, go figure Go home or go bigger, I’m a champion Professional progression, grow bigger All I want to get is dough, niggerOne more bloodshed One more sweat one more tears, i know that’s how you’re standing up One step at a time One step on the ground, nigger, and that’s how you make it farKama upo town, unajipinda, ule champion Kama una mtoto na anapiga shule (Champion) Kama upo hai, unajipinda Jua asili inakuwinda, ufe, kwa hiyo sherehekea, we ni championNajua upo shule na hawaenzi kipaji Umepiga kura na bungeni hautajwi Umefungwa mabondeni, umezungukwa Na madeni huku shida zimesheheni kwa idadiJipige kifuani, we ni champion You know, for keeping up with parliament and school shit All government and bullshit Mara chanjo, mara bodi ya mapato Everything is too quickSijawahi kuona mkono uliotulia ukashika fao Ukifa njaa, habari hazitafika kwao Chagua kulala au kulalamika kwenye mitandao Au uache masihara, uamke, uanze kupiga baoJua kali na msuli unabana Ukishindwa, jiliwaze na zuri la jana Hata kama ulishindwa, basi ulipiganaRest in Peace, Malcolm Ally Masoud Kipanya My beautiful mom is a champion My big brother Sajo is a champion And Palla, you are the champion We should all stand together like championsKamwe usiogope kuanza na moja Hata wakihisi kuwa unafanya kioja Najua umezungukwa na mawingu ya masimango na chuki Lakini bado we simama kisoja (Champion)

More From This Album

More songs from this album

Join The Family

New music. Stories. Early access. Things you won't find everywhere else.

© 2026 Dizasta Vina. All Rights Reserved.