–
LYRICS
–
Search for a song or choose an album and track.

THE VERTELLER
Dizasta Vina
A Confession of a Mad Son (feat. Dash)
THE VERTELLER • Dizasta Vina
Lyrics copied!
Ah! watakwambia mi’ wa kishua ‘cause I’m cute and
Niko juu kama human kwenye food chain
Vile I look good and I got this cool slang
Na nina rap skills ka’ Sean P wa Boot CampWatasema kuhusu my intelligence my balances
Watakuambia kuhusu my Teammates my Alliances
Watakuambia kuwa nina fans mpaka Kansas
Na nina-ball pia nina-draw pia ni Enthusiast wa ScienceWatakuambia kuwa nina fans mpaka Marabu
Watakuambia kuwa my brain is all lava-full
Watakuambia kuwa nina perfume
Ninayopaka kuwa ina karafuu na ina-smell wonderfulHawatakuambia kuhusu aliyenikanya hadi nikome
Aliyenizaa akanilea akani…
Akanipenda, akani…
Akanifanya msafi mnioneSilabi, ah! zinaunda vitenzi kwa irabu
Kutengeneza mashujaa wengi wa vitabu
Tarihi zinatungwa toka enzi za mababu
Mi’ nimeona shujaa wa kweli ni ajabuSidhani, kama inatosha kusema “thank you”
Ukinihitaji just whistle and ‘Imma’ rescue
Ni bahati leo niko hai, simple nafurahi kukuona
Ukiwa happy and I’m gratefulKama nina nyota nyumbani nahitaji nini?
Nahitaji nini?
Uko moyoni mahala ambapo nahifadhi PIN
Naku-post ‘Insta’ kisha naku-hashtag #QUEENWapo ambao walifuga kiburi
Wakazipanda mbegu wakavuna sifuri
Walichana misamba wakavunja misuli
Sikutetereka maana ulinifunza vizuriUmenifunza jinsi ya kuishi na pia
Umenipa hekima umenipa misingi na njia
Kisha ukanipa bega kubwa la kukidhi dunia
Linanipa faraja pindi n’napohisi kuliaNani mjinga azuie mbegu bora kuchipua?
Labda kama shamba limezongwa na mabua
Umenilea ‘Soja’ nimekua, umenifunza akiba
Maana umasikini kidonda natambuaNiko mbali natafuta miradi sawia
Mvua inanyesha radi nasikia
Bado nasimama Imara, Asante kwa kunilea vyema mama, Umeipa zawadi duniaAsante kwa upendo wako asante kwa kunipatia hifadhi
Asante kwa mabusu siwezi kuhesabia idadi
Asante kwa picha kali naiandikia dibaji
We’ ni shujaa nitasimulia vizazi
Happy BirthdayHappy birthday
Happy birthday
Happy birthdayUkubwa wa upendo wako hauwezi wekwa mchanganuo
Nimekulia mahala ambapo kuwa mwema si chaguo
Umenipa busara sihitaji tena mafunuo
Ikiwa nimepewa funguo, ya kuifungua duniaNasikitika kauli yangu sio rasmi
But I’m sure you’ve always meant for some’ high
Maybe that’s how Angel got to be
You’re a proven God to meWimbo huu ni upendo wangu kwako
Marafiki wanafurahia uwepo wangu japo
Wapo kadhaa wanaochukia uwezo wangu
Hawatajua wala kuikisia kesho yanguWe’ ni kioo naona kesho nai-reflect vile
Naona pande naona mbele najiuliza
Mi’ ni nani nikusahau nikudharau
Wakati wazi umenipa sababu moja zaidi ya ku-respect womenSiwezi lipa tone la kamasi ulilonifuta
Siwezi tafuta chozi la samaki lililovuja
Siwezi badili muda kisha ukawa thamani
Nikaurudisha nawakusanya wenzangu nawafundishaTumweshimu mama, wapi tunda pasipo mbegu?
Imeandikwa iwapi rutuba pasipo nyevu
Usipojua umuhimu wa msingi kwa kuta ndefu
Ni sawa na kuzipanda mbigiri na kuja pekuWe’ ni sauti ya uchochezi, hasa n’napolega
We’ ni lugha we’ ni kurasa yangu pendwa
We’ ni kitabu kitamu siwezi weka kando nikishika
We’ ni ka’ kiini kwenye AtomWe’ ni Oprah, Michelle, Shyrose Bhanji
We’ ni Winnie Mandela, Sophia(sonia) Ghandhi
We’ ni kama paka mwenye roho tisa
We’ Serena, we’ ni Stosh Fellie, Go TifaYou’re my Violet my Rose and my lily ah!
You’re my best friend, you’re my wishing star
You’re my sweet dreams my wonder woman
My Cat woman, my first love and that’s vividYou love when I’m broke and when I get paid
Before and after my payday
You love me anyway, so I surrender my Ego
And my Arrogance and I’m singing happy birthday
More From This Album
More songs from this album
Join The Family
New music. Stories. Early access. Things you won't find everywhere else.
© 2026 Panorama Authentik. All Rights Reserved.